Wachezaji wa Simba sc wanaomaliza mikataba yao msimu huu ;

- Beki wa klabu ya Simba sc Joash Onyango (28) 🇰🇪 amekataa ofa mpya aliyopewa na klabu ya Simba kwa ajili ya kuongeza mkataba mpya katika klabu hiyo. - Beki huyo anataka aongezewe dau ili asaini mkataba mpya kwa wekundu wa Msimbazi ... Wakati huohuo klabu ya Orlando Pirates 🇿🇦 imeonesha nia ya kutaka saini yake. . . Wachezaji wa Simba sc wanaomaliza mikataba yao msimu huu ; 🇹🇿 Aishi Manula. 🇰🇪 Joash Onyango. 🇷🇼 Meddie Kagere. 🇨🇩 Chriss Mugalu. 🇹🇿 Mzamiru Yassin. 🇬🇭 Bernard Morrison. 🇹🇿 Erasto Nyoni. 🇹🇿 Ibrahim Ame 🇹🇿 Said Ndemla. 🇨🇮 Pascal Wawa. 🇹🇿 Hassan Dilunga.