Wachezaji wa Simba sc wanaomaliza mikataba yao msimu huu ;

 - Beki wa klabu ya Simba sc Joash Onyango (28) 🇰🇪 amekataa ofa mpya aliyopewa na klabu ya Simba kwa ajili ya kuongeza mkataba mpya katika klabu hiyo.


- Beki huyo anataka aongezewe dau ili asaini mkataba mpya kwa wekundu wa Msimbazi ... Wakati huohuo klabu ya Orlando Pirates 🇿🇦 imeonesha nia ya kutaka saini yake.

.

.

Wachezaji wa Simba sc wanaomaliza mikataba yao msimu huu ;


🇹🇿 Aishi Manula.

🇰🇪 Joash Onyango.

🇷🇼 Meddie Kagere.

🇨🇩 Chriss Mugalu.


🇹🇿 Mzamiru Yassin.

🇬🇭 Bernard Morrison.

🇹🇿 Erasto Nyoni.

🇹🇿 Ibrahim Ame

🇹🇿 Said Ndemla.

🇨🇮 Pascal Wawa.

🇹🇿 Hassan Dilunga.

Comments

Popular posts from this blog

Shafii Dauda Nipo Huru Sijafungiwa Na TFF

Gsm Uso Kwa Uso Na Bernard Morrison

Chelsea Bango kubwa linasomeka kutoka Forbes