NABI BADO SIJAFIKA UBORA NINAO UTAKA


 BADO SIJAFIKA UBORA NINAO UTAKA 


Kocha wa mabingwa wa kihistoria Tanzania, Nasaradine Mohamed Nabi amesema kuwa kikosi chake bado hakijafika level ya ubora anao utaka yeye licha ya siku 90 alizoomba kumalizika 


Nabi amesema kuwa kwa sasa kikosi kimeimarika zaidi japo bado hajafika kwenye kiwango anacho kitaka hivyo kuna kazi kubwa inatakiwa kuendelea kufanyika katika uwanja wa mazoezi.


Katika hatua nyingine wachezaji wa Yanga wanatarajia kuingia kambini Leo baada ya mapumziko ya siku moja 


Yanga inajiandaa na mchezo wa ligi kuu dhidi ya Geita Gold utakao chezwa uwanja wa CCM KIRUMBA Mwanza.



Comments

Popular posts from this blog

Shafii Dauda Nipo Huru Sijafungiwa Na TFF

Gsm Uso Kwa Uso Na Bernard Morrison

Chelsea Bango kubwa linasomeka kutoka Forbes