Wallace Karia Wachambuzi Wanaua Mpira

 Rais wa shirikisho la soka Tanzania !


"Kuna wanaojiita wachambuzi, sijui uchambuzi wamesomea wapi. Kusema ukweli katika watu ambao hawautendei haki mpira wetu ni WACHAMBUZI"


"Mimi ninaona wao (Wachambuzi) ndio wakati mwingine wanaopotosha na kuleta taharuki" 🔍 Wallace Karia


Comments

Popular posts from this blog

Shafii Dauda Nipo Huru Sijafungiwa Na TFF

Gsm Uso Kwa Uso Na Bernard Morrison

Chelsea Bango kubwa linasomeka kutoka Forbes