Yanga Sc Vs Kmc Mambo Ni Mengi Mda Ni Mchache

 - Kuelekea mchezo wa kesho Yanga dhidi ya KMC kutakuwa na surprise nyingi kabla ya mchezo utakaochezwa saa 1 usiku.


- Klabu ya Yanga imeidedicate mechi hiyo kwa Rais Samia Suluhu ambaye ametimiza mwaka mmoja tangu aingie madarakani.


- Utachezwa mchezo wa utangulizi baina ya Viongozi wa Yanga na GSM wakiongozwa na Haji Manara dhidi ya timu ya Bongo fleva.


- Utachezwa mchezo mwingine wa utangulizi, Yanga princess v Ilala queens.


- Huenda Rais Samia Suluhu akahudhuria mchezo huo, pia kutakuwa na burudani zingine za wasanii.


Comments

Popular posts from this blog

Shafii Dauda Nipo Huru Sijafungiwa Na TFF

Gsm Uso Kwa Uso Na Bernard Morrison

Chelsea Bango kubwa linasomeka kutoka Forbes