Ng'ombe Wa Fiston Mayele Atua Jangwani

Ng'ombe aliyepewa mshambuliaji wa @yangasc Fiston Mayele baada ya mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Mtibwa Sugar ambao Yanga ilishinda 2-0 kwenye uwanja wa Manungu Morogoro amefikishwa makao makuu ya klabu Jangwani Dar es Salaam.


Comments

Popular posts from this blog

Shafii Dauda Nipo Huru Sijafungiwa Na TFF

Gsm Uso Kwa Uso Na Bernard Morrison

Chelsea Bango kubwa linasomeka kutoka Forbes