Ng'ombe Wa Fiston Mayele Atua Jangwani
Ng'ombe aliyepewa mshambuliaji wa @yangasc Fiston Mayele baada ya mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Mtibwa Sugar ambao Yanga ilishinda 2-0 kwenye uwanja wa Manungu Morogoro amefikishwa makao makuu ya klabu Jangwani Dar es Salaam.
Comments
Post a Comment