MABADILIKO YA MUDA WA MCHEZO SIMBA SC VS DODOMA JIJI

 MABADILIKO YA MUDA WA MCHEZO. .


Mechi yetu ya kesho ya Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Dodoma Jiji ambayo awali ilikuwa ichezwe saa moja usiku, sasa itapigwa saa 10 jioni.


Tayari uongozi wa klabu umepokea taarifa ya maandishi kutoka Bodi ya Ligi kuhusu mabadiliko hayo ya muda wa mchezo.


Maandalizi ya mchezo yanaendelea vizuri kila kitu kipo kama kilivyopangwa na kinachosubiriwa ni muda tu ufike mchezo huo upigwe tuendelee ku enjoy.


Comments

Popular posts from this blog

Shafii Dauda Nipo Huru Sijafungiwa Na TFF

Gsm Uso Kwa Uso Na Bernard Morrison

Chelsea Bango kubwa linasomeka kutoka Forbes