MABADILIKO YA MUDA WA MCHEZO SIMBA SC VS DODOMA JIJI
MABADILIKO YA MUDA WA MCHEZO. .
Mechi yetu ya kesho ya Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Dodoma Jiji ambayo awali ilikuwa ichezwe saa moja usiku, sasa itapigwa saa 10 jioni.
Tayari uongozi wa klabu umepokea taarifa ya maandishi kutoka Bodi ya Ligi kuhusu mabadiliko hayo ya muda wa mchezo.
Maandalizi ya mchezo yanaendelea vizuri kila kitu kipo kama kilivyopangwa na kinachosubiriwa ni muda tu ufike mchezo huo upigwe tuendelee ku enjoy.
Comments
Post a Comment