Putin Marekani Yumo Na Uingereza

 Serikali ya Urusi leo imeidhinisha na kutaja majina ya Nchi ambazo zimeonesha vitendo visivyo vya kirafiki kwa Urusi baada ya kuivamia Kijeshi ikiwemo kuiwekea vikwazo na Kampuni zake kuondoka Urusi, Serikali ya Urusi imesema inatafakari hatua ambazo itachukua kwa Nchi hizo.


Nchi zilizotajwa ni Marekani, Canada, Australia, Iceland, Japan, Monaco, Montenegro, New Zealand, Norway, Taiwan, San Marino, Singapore, Korea Kusini, Switzerland , Ukraine na Mataifa yote ya Umoja wa Ulaya ikiwemo Uingereza.



Comments

Popular posts from this blog

Shafii Dauda Nipo Huru Sijafungiwa Na TFF

Gsm Uso Kwa Uso Na Bernard Morrison

Chelsea Bango kubwa linasomeka kutoka Forbes