SIMBA SC KUWAKOSA NYOTA SITA DHIDI YA BIASHIARA;


Katika mchezo wa leo Simba Sc itawakosa wachezaji sita kutokana na kuwa  majeruhi. Nyota hao ni:

▪️Aishi Manula 

▪️Chris Mugalu 

▪️Kibu Denis

▪️Hassan Dilunga

▪️Jonas Mkude

▪️Sadio Kanoute.


NOTE:MUGALU na KIBU ambao walikuwa nje ya uwanja kwa muda, tayari wameanza mazoezi, na utimamu wao wa mwili ukiwa sawa wataanza kushuka dimbani.


Comments

Popular posts from this blog

Shafii Dauda Nipo Huru Sijafungiwa Na TFF

Gsm Uso Kwa Uso Na Bernard Morrison

Chelsea Bango kubwa linasomeka kutoka Forbes