Luis Miquisson Simba Sc Kutwaa Ubingwa Ligi Kuu Bara

 Winga wa zamani wa Simba, Luis Miquissone 🇲🇿 anasema kutokana na mwenendo wa Ligi Kuu Bara ulivyo msimu huu bado timu ya Simba inaweza kutwaa ubingwa na ikautetea kwa mara ya tano mfululizo.


"Bado naipa nafasi kubwa timu yangu (Simba) kufanya hivyo lakini hata katika mashindano mengine kama kombe la Shirikisho (ASFC), nalo wanaweza kufanya vizuri na kuchukua ubingwa”


SOURCE : GOAL AFRICA.




Comments

Popular posts from this blog

Shafii Dauda Nipo Huru Sijafungiwa Na TFF

Gsm Uso Kwa Uso Na Bernard Morrison

Chelsea Bango kubwa linasomeka kutoka Forbes