Mario Balotelli:

 Mario Balotelli:


"Kama ningekuwa na akili yangu ya sasa nilipokuwa Manchester City pengine ningeshinda mpira mmoja wa dhahabu (Ballon D'or). Nina uhakika na hilo."


"Nilipokua nilijua sikupaswa kuondoka Manchester City wakati huo. Miaka yote hii City imekuwa bora zaidi. Ningeweza kuwa hapa kama Sergio Aguero kwa muda mrefu."


Comments

Popular posts from this blog

Shafii Dauda Nipo Huru Sijafungiwa Na TFF

Gsm Uso Kwa Uso Na Bernard Morrison

Chelsea Bango kubwa linasomeka kutoka Forbes