Chelsea Bango kubwa linasomeka kutoka Forbes

 #Repost @issamasoud with @make_repost

・・・

Bango kubwa linasomeka kutoka Forbes]


Tajiri na mmiliki wa Chelsea FC Roman Abramovich alijiwekea Kinga ya mkopo kwa Chelsea FC yenye thamani ya $2 billion. Na mwaka uliopita aliongeza tena mkopo wa $26 milion.


Ikumbukwe Abramovich aliinunua Chelsea kwa $190 million mwaka 2003.


Kwa mujibu wa Forbes] mpaka mwaka 2021 unaisha Chelsea FC ilikuwa na thamani ya $3.2 billion.


Hivyo basi ikatokea Serikali ya Uingereza inazuia mali zake kutokana na kuwekewa vikwazo kwa sababu ya vita kati ya Ukraine vs Russia, Abramovich itabidi alipwe cash $2 bilioni ili aweze kuachia Club ya Chelsea umiliki wake.


Na kama akiamua kuweka sokoni Club hiyo inahitajika mnunuzi atakaekuja kununua hiyo Club alipe market value kwa maana ya $3.2 billion hii ikiwa ni pamoja na deni la Abramovich la $2 bilion.


Vinginevyo Club itaingizwa kwenye ufilisi sababu haina uwezo wa kulipa hiyo fedha Cash.



Comments

Popular posts from this blog

Shafii Dauda Nipo Huru Sijafungiwa Na TFF

Gsm Uso Kwa Uso Na Bernard Morrison