Simba Sc Yakabidhiwa Milioni 50

 -Klabu ya Simba leo imepokea zawadi ya fedha ya milioni 50 kutoka kwa mdhamini wao mkuu, kampuni ya Sportpesa kwa kufika hatua ya robo fainali ya Kombe la Shirikisho (Caf Confederation Cup) barani Afrika


Comments

Popular posts from this blog

Shafii Dauda Nipo Huru Sijafungiwa Na TFF

Gsm Uso Kwa Uso Na Bernard Morrison

Chelsea Bango kubwa linasomeka kutoka Forbes