Gsm Uso Kwa Uso Na Bernard Morrison

 -Mkurugenzi wa uwekezaji wa kampuni ya GSM na mjumbe wa kamati ya usajili ya klabu ya Yanga Eng Hersi Said amekili kuwa wako kwenye mazungumzo ya kumsajili winga wa klabu ya Simba Benard Morrison raia wa Ghana mwisho wa msimu huu baada ya mkataba wake na Simba kuisha. Morrison tayari ameachana na Simba kwa kupewa mapumziko hadi mwisho wa msimu.


Comments

Popular posts from this blog

Shafii Dauda Nipo Huru Sijafungiwa Na TFF

Chelsea Bango kubwa linasomeka kutoka Forbes