Pablo Martin Out Simba Sc

 -Klabu ya Simba SC imeachana rasmi na kocha mkuu wa klabu hiyo Pablo Martin raia wa Hispania baada ya kushindwa kufikia malengo ya msimu huu (2021/22). Uongozi wa juu wa klabu hiyo tayari umempa taarifa ya kuvunja mkataba wake pamoja na kocha wa viungo Don Daniel De Castro raia wa Hispania.


Comments

Popular posts from this blog

Shafii Dauda Nipo Huru Sijafungiwa Na TFF

Gsm Uso Kwa Uso Na Bernard Morrison

Chelsea Bango kubwa linasomeka kutoka Forbes