Kisa Vitochi FIFA Yaishushia Rungu Senegal

 Shirikisho la soka Duniani (FIFA) limelitoza faini shirikisho la soka la Senegal kiasi cha Tsh (418) Milioni kwa kosa la mashabiki wa timu ya taifa ya Senegal πŸ‡ΈπŸ‡³ kuwamulika na tochi za laser Wachezaji wa timu ya taifa ya Egypt πŸ‡ͺπŸ‡¬ wakati wa mechi ya kufuzu kombe la Dunia 2022 iliyofanyika nchini Senegal πŸ‡ΈπŸ‡³

.

.

FIFA pia imewafungia kucheza bila mashabiki kwenye michezo inayofuata.


Comments

Popular posts from this blog

Shafii Dauda Nipo Huru Sijafungiwa Na TFF

Gsm Uso Kwa Uso Na Bernard Morrison

Chelsea Bango kubwa linasomeka kutoka Forbes