Kisa Ambulance Namungo Wapewa Point Tatu Na TFF

 -Klabu ya Namungo FC imepewa alama tatu na magoli matatu baada ya klabu ya Mbeya Kwanza kugomea mchezo namba 180 wa ligi kuu ya NBC kwa madai ya kutokuwepo kwa gari la wagonjwa (Ambulance) pia kocha wa timu hiyo Mbwana Makata na Meneja wa timu hiyo David Naftali wamefungiwa kujihusisha na soka kwa miaka mitano Kila mmoja kwa kushawishi wachezaji wasiingie uwanjani.


Comments

Popular posts from this blog

Shafii Dauda Nipo Huru Sijafungiwa Na TFF

Gsm Uso Kwa Uso Na Bernard Morrison

Chelsea Bango kubwa linasomeka kutoka Forbes