DTB Yamnasa Metacha Mnata Kutoka Polisi Tanzania
-Klabu ya DTB FC iliyopanda ligi kuu ya NBC imekamilisha usajili wa golikipa wa klabu ya Polisi Tanzania Metacha Mnata kwa mkataba wa miaka miwili. Metacha atajiunga na DTB mwisho wa msimu huu kama mchezaji huru baada ya mkataba wake na Polisi Tanzania kuisha.
Comments
Post a Comment