BREAKING NEWS!! Simba Sc Imeachana Na Bernard Morrison Rasmi

BREAKING NEWS!!


Klabu ya Simba SC imeachana rasmi na Mshambuliaji wao wa Kimataifa wa Ghana 🇬🇭,Bernard Morrison Baada ya kumpa likizo ya mda mrefu isiyo na kikomo mpaka Mkataba wake na Simba utakapoisha.

AHSANTE na Kwaheri Mr Be....Umekaa Mda Mchache Tanzania....Lakini tumejifunza mengi kupitia wewe.

Comments

Popular posts from this blog

Shafii Dauda Nipo Huru Sijafungiwa Na TFF

Gsm Uso Kwa Uso Na Bernard Morrison

Chelsea Bango kubwa linasomeka kutoka Forbes