ORLANDO PIRATES KUMKOSA DEON HOTTO DHIDI YA SIMBA SC.

Wakati Kanoute na Onyango wakirejea Kikosini, Simba Sc wanatarajiwa kumkosa kiungo wao wa ushambuliaji Bernard Morisson kwenye mchezo ujao dhidi ya Orlando Pirates utakaopigwa Soweto wiki ijayo,


Maharamia hao 'Orlando' nao watamkosa Deon Hotto baada ya kuoneshwa kadi ya tatu ya njano  itakayomfanya akose mchezo huo.


Comments

Popular posts from this blog

Shafii Dauda Nipo Huru Sijafungiwa Na TFF

Gsm Uso Kwa Uso Na Bernard Morrison

Chelsea Bango kubwa linasomeka kutoka Forbes