Mino Raiola Hajafariki Yupo ICU

 ðŸŽ™Kwa Mjibu wa mtu wa karibu wa  Mino Raiola, José Fortes Rodriguez amekiambia chombo Cha habari Cha Uholanzi, Dutch media Kuwa Mino Raiola hajafariki dunia bali ana hali mbaya sana:


 "Yupo kwenye hali mbaya,Lakini hajafariki dunia"


(Source: @sgevans)


Comments

Popular posts from this blog

Shafii Dauda Nipo Huru Sijafungiwa Na TFF

Gsm Uso Kwa Uso Na Bernard Morrison

Chelsea Bango kubwa linasomeka kutoka Forbes