Familia Ya Mino Raiola Imetangaza Kifo Cha Mino Raiola

 Wakala maarufu wa Wachezaji soka mbalimbali duniani kama Paul Pogba na Zlatan Ibrahimovic anayejulikana kwa jina la Mino Raiola amefariki dunia leo akiwa na umri wa miaka 54, taarifa hizo zimethibitishwa na familia yake kupitia account yake ya twitter.


Comments

Popular posts from this blog

Shafii Dauda Nipo Huru Sijafungiwa Na TFF

Gsm Uso Kwa Uso Na Bernard Morrison

Chelsea Bango kubwa linasomeka kutoka Forbes