Chico Ushindi Khali Tete Ndani Ya Yanga Sc

 - Winga wa klabu ya Yanga Chico Ushindi amekuwa aki struggle kwa muda bila watu wengi kujua anasumbuliwa na nini.

.

.

Kwa mujibu wa daktari wa ya Yanga sc Yousef Ammar 🇹🇳 ameweka wazi kuwa Chico (26) 🇨🇩 kwa vipindi tofauti alikuwa akisumbuliwa na maumivu ya nyama za paja.

.

.

Amesema wamelifanyia kazi suala hilo na sasa Chico ushindi amepona kwa 100% na yuko tayari kwa ajili ya michezo inayofuata.


Comments

Popular posts from this blog

Shafii Dauda Nipo Huru Sijafungiwa Na TFF

Gsm Uso Kwa Uso Na Bernard Morrison

Chelsea Bango kubwa linasomeka kutoka Forbes