Tanesco Yashusha Neema Vijijini
Mambo yanaendelea kurahisishwa.Bei elekezi ya kuunganishwa umeme vijijini ni shilingi 27,000/= tu.
TANESCO tunaendelea kuangaza maisha yako wewe mtanzania popote pale ulipo, wasiliana nasi sasa tuweze kukuhudumia kwa haraka na kwa bei nafuu ndani ya muda mfupi.
Comments
Post a Comment