Somalia Vs Eswatini Kukipiga Kwa Mkapa

 Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini Somalia (SFF) limetangaza kuwa watacheza mchezo wao wa awali wa kuwania kufuzu kwa Kombe la Mataifa ya Afrika (#AFCON) 2023 dhidi ya Eswatini jijini Dar es Salaam, Tanzania. Hii ni kwa sababu hawana Uwanja wowote ulioidhinishwa kucheza mechi ya kimataifa.


Comments

Popular posts from this blog

Shafii Dauda Nipo Huru Sijafungiwa Na TFF

Gsm Uso Kwa Uso Na Bernard Morrison

Chelsea Bango kubwa linasomeka kutoka Forbes