SIMBA KUMKOSA BWALYA 🚨

 SIMBA KUMKOSA BWALYA 🚨


.

Kocha wa Simba Pablo Franco amesema taarifa alizokuwa nazo siku moja kabla ya kusafiri wachezaji wanne hawatakuwa sehemu ya kikosi;

.

Hassan Dilunga πŸ‡ΉπŸ‡Ώ atakayekuwa nje ya uwanja kwa muda mrefu kutokana na jeraha lake la goti. Pablo amesema ana imani Dilunga atarejea katika majukumu yake punde, Rally Bwalya πŸ‡ΏπŸ‡² yupo kwao Zambia alikopata msiba, Chriss Mugalu πŸ‡¨πŸ‡© na Kibu Denis πŸ‡ΉπŸ‡Ώ wanaendelea na matibabu.

Comments

Popular posts from this blog

Shafii Dauda Nipo Huru Sijafungiwa Na TFF

Gsm Uso Kwa Uso Na Bernard Morrison

Chelsea Bango kubwa linasomeka kutoka Forbes