Samwel Etoo Nimeongeza Mishahara

 Tayari tangu Samuel Etoo awe Rais wa chama cha soka cha Cameroon amekamilisha baadhi ya mambo


-Viwango vya mishahara ya wachezaji wa Ligi zao


- Suala la bima kwa wachezaji ni lazima


-Suala la wachezaji wenye uraia pacha kuiwakilisha Cameroon, ameweka mifumo sahihi


Legend wa mpira amesimama kama Kiongozi bora


Vipi huko kwenu??


Comments

Popular posts from this blog

Shafii Dauda Nipo Huru Sijafungiwa Na TFF

Gsm Uso Kwa Uso Na Bernard Morrison

Chelsea Bango kubwa linasomeka kutoka Forbes