Salim Abdallah Try again Victor Adebayor Anakuja Simba Sc.

 Mwenyekiti wa bodi ya Simba sc !


"Huyu (Victorien Adebayor) ni mchezaji mzuri sana, niliongea na Rais wa klabu ya USGN 🇳🇪 akaniambia yuko hapa kwa mkopo akitokea Denmark 🇩🇰,, Huyu si mchezaji wa kurudi Denmark anatakiwa kucheza Simba SC... Nitaongea na Rais tuvunje benki" 


"Simba sports club ni timu kubwa barani Africa, kwa nini isiwezekane !!" 


🔍 Salim Abdallah Try again.


Comments

Popular posts from this blog

Shafii Dauda Nipo Huru Sijafungiwa Na TFF

Gsm Uso Kwa Uso Na Bernard Morrison

Chelsea Bango kubwa linasomeka kutoka Forbes