Rais Samia, wanasiasa wanaishi bila mashaka, hakuna aliyeumwa hata na sisimizi

 Rais Samia Suluhu Hassan akiwa katika mahojiano na Idhaa ya Kiswahili ya DW amesema wanasiasa wakubwa wa upinzani wako wengi nchini Tanzania na hakuna anayeishi kwa mashwaka kwa kuwa hakuna aliyenyukuliwa hata kuumwa na sisimizi, hivyo Tundu Lissu aulizwe mashaka yake ni yapi.


Aidha kuhusu kauli yake ya awali iliyookana kuingilia uhuru wa mahakama kuhusu kesi ya Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe amesema hawezi kuitolea ufafanuzi kwa kuwa watu wanasema mengi hawezi kutolea ufafanuzi kila kitu.


Comments

Popular posts from this blog

Shafii Dauda Nipo Huru Sijafungiwa Na TFF

Gsm Uso Kwa Uso Na Bernard Morrison

Chelsea Bango kubwa linasomeka kutoka Forbes