Rais Samia, wanasiasa wanaishi bila mashaka, hakuna aliyeumwa hata na sisimizi
Rais Samia Suluhu Hassan akiwa katika mahojiano na Idhaa ya Kiswahili ya DW amesema wanasiasa wakubwa wa upinzani wako wengi nchini Tanzania na hakuna anayeishi kwa mashwaka kwa kuwa hakuna aliyenyukuliwa hata kuumwa na sisimizi, hivyo Tundu Lissu aulizwe mashaka yake ni yapi.
Aidha kuhusu kauli yake ya awali iliyookana kuingilia uhuru wa mahakama kuhusu kesi ya Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe amesema hawezi kuitolea ufafanuzi kwa kuwa watu wanasema mengi hawezi kutolea ufafanuzi kila kitu.
Comments
Post a Comment