Michezo Yaliyojiri Barani Ulaya Kwenye Magazeti

 ðŸš¨ Karim Adeyemi na Dortmund wako katika makubaliano kamili kuhusu masharti ya kibinafsi ya kusainishana mkataba. 


Dortmund wako tayari kutoa €30M + bonasi ya €5M lakini RB Salzburg wameomba ofa ya karibu €45M ili kumuuza mshambuliaji huyo.

 (Chanzo: Sport1)  


🚨 Kylian Mbappé amekataa ofa ya pili ya kandarasi mpya kutoka kwa timu yake ya PSG, 


Kwa sasa Real Madrid wana uhakika watamsajili msimu huu wa joto bila malipo. 

(Chanzo: @TheAthleticUK) 


🚨 Cristiano Ronaldo anavutiwa vilabu vya PSG, Bayern Munich na Roma anapofikiria iwapo ataondoka Manchester United msimu huu wa joto.

 (Chanzo: Sun Sport) 



🚨 Harry Kane yuko tayari kuungana tena na Mauricio Pochettino huku kukiwa na ripoti kwamba meneja wa PSG atamlenga kama atakuwa kocha wa Manchester United.

 (Chanzo: Daily Mirror) 





 Kylian Mbappé: kabla ya mechi ya jana 


🗣️ "Watu wanazungumza kuhusu mimi na mustakabali wangu, ni jambo la kawaida - lakini kama mchezaji wa PSG, nitatoa kila nilichonacho. Ninaweza kuthibitisha kwamba mustakabali wangu bado haujaamuliwa - na mchezo huu na Real Madrid hautaweza. kubadilisha chochote, 

(Chanzo : Fabrizio Romano)


Comments

Popular posts from this blog

Shafii Dauda Nipo Huru Sijafungiwa Na TFF

Gsm Uso Kwa Uso Na Bernard Morrison

Chelsea Bango kubwa linasomeka kutoka Forbes