Mchezaji ASiyeona Galatasaray

 Mwaka 2020 beki wa klabu ya Galatasaray 🇹🇷 Omar Elabdellaouri alipoteza uwezo wa kuona baada ya kulipukiwa na fataki.


- Ilimchukua takribani mara (11) kufanyiwa surgery kurejesha uwezo wake wa kuona 👀.


- Leo kwa mara ya kwanza baada ya siku (423) amerejea na kucheza soka katika klabu yake ya Galatasaray 🇹🇷 🙏


NB ; Omar ni huyo aliyevaa miwani.


Comments

Popular posts from this blog

Shafii Dauda Nipo Huru Sijafungiwa Na TFF

Gsm Uso Kwa Uso Na Bernard Morrison

Chelsea Bango kubwa linasomeka kutoka Forbes