Mashabiki Ruksa Kushuhudia Rs Berkane Vs Simba Sc

 -Shirikisho la soka Afrika CAF limeruhusu watazamaji kwenye mchezo wa RS Berkane dhidi ya Simba SC utakaopigwa Feb 27


Ikumbukwe mashabiki nchini Morocco walizuiliwa kuingia uwanjani tangu mlipuko wa Covid 19 kutokana na idadi ya visa vya Covid kuwa vingi nchini humo.


Comments

Popular posts from this blog

Shafii Dauda Nipo Huru Sijafungiwa Na TFF

Gsm Uso Kwa Uso Na Bernard Morrison

Chelsea Bango kubwa linasomeka kutoka Forbes