Manchester United imesitisha mkataba wake wa udhamani na kampuni ya ndege ya Urusi

 Klabu ya Manchester United imesitisha mkataba wake wa udhamani na kampuni ya ndege ya Urusi Aeroflot wenye thamani ya Pauni milioni 40, kufuatia Urusi kuvamia nchini Ukraine.


Manchester United wamekuwa na mkataba wa wakusafirishwa na shirika hilo tangu mwaka 2013


Comments

Popular posts from this blog

Shafii Dauda Nipo Huru Sijafungiwa Na TFF

Gsm Uso Kwa Uso Na Bernard Morrison

Chelsea Bango kubwa linasomeka kutoka Forbes