JAMHURI KIHWELO JULIO BABA MZAZI ATEMA CHECHE

MICHEZO Kocha Msaidizi wa Namungo, Jamhuri Kihwelo 'Julio' amesema makosa machache yaliyofanywa na mabeki wao ndiyo yaliyowafanya wafungwe bao 1-0 dhidi ya Kagera Sugar juzi kwenye Uwanja wa Kaitaba, Bukoba mkoani Kagera kwenye mechi ya raundi ya tano ya Kombe la FA.


Comments

Popular posts from this blog

Shafii Dauda Nipo Huru Sijafungiwa Na TFF

Gsm Uso Kwa Uso Na Bernard Morrison

Chelsea Bango kubwa linasomeka kutoka Forbes