"God Never Die But Me One I Will Die"
Kazi Yangu Kubwa Ni Kuhakikisha Unapata Habari Za Uhakika Na Zilizo Hakikiwa Michezo Na Burudani Za Kitaifa Na Kimataifa
Harmonize Mniite Bakhresa
Get link
Facebook
X
Pinterest
Email
Other Apps
Msanii Harmonize amewataka mashabiki wake kumuita jina la Bakhresa kuanzia leo.
Kupitia ukurasa wake wa instagram Harmonize ameandika Call Me Bakhresa from today”
NIMEPOKEA ADHABU KWA MIKONO MIWILI. "Nimeipokea adhabu ya kufungiwa, Taarifa ambayo imetajwa iliandikwa kwenye ukurasa wangu wa Instagram na ilikuwa inazungumzia u-dictator wa shirikisho" "Kama unakumbuka, baada ya GSM kuingia mkataba na TFF, baadaye TFF wakaja na barua ikipiga marufuku wadau kuhoji kuhusu mkataba ule. Atakayethubutu atachukuliwa hatua" "Baadaye GSM wakatoa barua ya kuvunja mkata na TFF. Baada ya hapo ndio likaandikwa andiko lililokuwa linazungumzia TFF kuzuia wadau kuhoji kuhusu masuala ya mkataba wao na GSM ambao baadaye GSM walitangaza kuuvunja" "Kwa hiyo andiko langu lilikuwa linazungumzia kwamba TFF sio nyumba ya kupanga kwamba baba mwenye nyumba anaweza kuambua maji yatatoka muda fulani halafu bomba litafungwa" "Unaweza kuwa umefungiwa lakini kumbe ndio upo huru zaidi! Hakuna vikwazo tena, kwa sababu hakuna vifungu vya kunizuia. Nitakuwa huru kuzungumza, kukosoa pale inapobidi ilimradi sivunji sheria". "Sas...
-Mkurugenzi wa uwekezaji wa kampuni ya GSM na mjumbe wa kamati ya usajili ya klabu ya Yanga Eng Hersi Said amekili kuwa wako kwenye mazungumzo ya kumsajili winga wa klabu ya Simba Benard Morrison raia wa Ghana mwisho wa msimu huu baada ya mkataba wake na Simba kuisha. Morrison tayari ameachana na Simba kwa kupewa mapumziko hadi mwisho wa msimu.
#Repost @issamasoud with @make_repost ・・・ Bango kubwa linasomeka kutoka Forbes] Tajiri na mmiliki wa Chelsea FC Roman Abramovich alijiwekea Kinga ya mkopo kwa Chelsea FC yenye thamani ya $2 billion. Na mwaka uliopita aliongeza tena mkopo wa $26 milion. Ikumbukwe Abramovich aliinunua Chelsea kwa $190 million mwaka 2003. Kwa mujibu wa Forbes] mpaka mwaka 2021 unaisha Chelsea FC ilikuwa na thamani ya $3.2 billion. Hivyo basi ikatokea Serikali ya Uingereza inazuia mali zake kutokana na kuwekewa vikwazo kwa sababu ya vita kati ya Ukraine vs Russia, Abramovich itabidi alipwe cash $2 bilioni ili aweze kuachia Club ya Chelsea umiliki wake. Na kama akiamua kuweka sokoni Club hiyo inahitajika mnunuzi atakaekuja kununua hiyo Club alipe market value kwa maana ya $3.2 billion hii ikiwa ni pamoja na deni la Abramovich la $2 bilion. Vinginevyo Club itaingizwa kwenye ufilisi sababu haina uwezo wa kulipa hiyo fedha Cash.
Comments
Post a Comment