Gianni Infantino ametangaza kuvifungia kwa muda usiojulikana vyama vya Soka Nchini Kenya na Zimbabwe

 Rais wa Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) Gianni Infantino ametangaza kuvifungia kwa muda usiojulikana vyama vya Soka Nchini Kenya na Zimbabwe kufanya shughuli za Mpira wa Miguu  Kutokana na kuingiliwa na Serikali katika uendeshaji wa Masuala ya soka. 


 #FIFA #kenya #Zimbabwe🇿🇼


Comments

Popular posts from this blog

Shafii Dauda Nipo Huru Sijafungiwa Na TFF

Gsm Uso Kwa Uso Na Bernard Morrison

Chelsea Bango kubwa linasomeka kutoka Forbes