Florent Ibenge Sina Record Nzuri Kw Simba Sc

 ðŸ—£ " Ni kweli rekodi yangu dhidi ya Simba si nzuri lakini sio sababu ya sisi kufeli dhidi yao. Tuna nafasi nzuri ya kupambana dhidi yao, tumetoka kupoteza katika mchezo uliopita tukiwa ugenini nchini Ivory Coast hivyo tunatakiwa kuutumia vizuri uwanja wa nyumbani. Kwa jinsi ilivyo ni lazima tupate matokeo nyumbani."


Kocha wa RS Berkane, Florent Ibenge akisisitiza ni lazima wapate matokeo katika mchezo ujao dhidi ya Simba.


Comments

Popular posts from this blog

Shafii Dauda Nipo Huru Sijafungiwa Na TFF

Gsm Uso Kwa Uso Na Bernard Morrison

Chelsea Bango kubwa linasomeka kutoka Forbes