Faidhati Ibrahim Auwa Morogoro

 Mwanafunzi wa darasa la 7 Shule ya Msingi Mwenge, Manispaa ya Morogoro, Faidhati Ibrahim (13) ameuawa kwa kukatwa na mapanga na kaka yake ambaye ni binamu anayetambulika kwa jina la Shomari Malima akiwa katika nyumbani kwao mtaa wa Tambukareli Kata ya Kingolwila huku sababu ikidaiwa kuwa ni ugomvi wa kifamilia kati ya mama wa marehemu na mama wa mtuhumiwa.



Comments

Popular posts from this blog

Shafii Dauda Nipo Huru Sijafungiwa Na TFF

Gsm Uso Kwa Uso Na Bernard Morrison

Chelsea Bango kubwa linasomeka kutoka Forbes