BARBRA: KILA KITU KIPO TAYARI MOROCCO .

 BARBRA: KILA KITU KIKO TAYARI MOROCCO 

.

CEO wa Simba Barbara Gonzalez ambaye tayari yupo nchini Morocco 🇲🇦 amesema mambo yako sawa ili kuhakikisha timu inaenda kufanya vizuri ugenini.

.

Amefafanua kuwa wamefanya uchunguzi na tayari wamekamilisha suala la usafiri, sehemu ya kufikia na chakula. 👏




Comments

Popular posts from this blog

Shafii Dauda Nipo Huru Sijafungiwa Na TFF

Gsm Uso Kwa Uso Na Bernard Morrison

Chelsea Bango kubwa linasomeka kutoka Forbes