Azam fc wamepigwa na kitu kizito 🙆

 Azam fc wamepigwa na kitu kizito 🙆


Full 🕡 Biashara Utd  2 - 0  Azam fc

49'  🕡 Collins Opare ⚽ 🔥

90' + 2 🕡 James Shagara ⚽,


Note ; Huyu Collins Opare aliichukua cleansheet ya Diarra juzi juzi kwenye (FA). Usajili bora wa dirisha dogo 💪


Msimamo wa ligi kuu Tanzania bara.

1. 👕 14 ⚽ 19 🅿️ 36 = Young Africans.

2. 👕 15 ⚽ 10 🅿️ 31 = Simba SC.

3. 👕 15 ⚽ 07 🅿️ 24 = Azam fc.

4. 👕 15 ⚽ 05 🅿️ 23 = Namungo fc.

5. 👕 15 ⚽ 04 🅿️ 23 = Mbeya city.


Comments

Popular posts from this blog

Shafii Dauda Nipo Huru Sijafungiwa Na TFF

Gsm Uso Kwa Uso Na Bernard Morrison

Chelsea Bango kubwa linasomeka kutoka Forbes